Selfika na JF: Snap it. Show it

Kabisaa kiongozi.
Kila kitu hutokea Kwa sababu aisee.

Wasitutenge manguruwe pori jamani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nawasimanga nguruwe pori wakati hata Mimi nahisi nilikuwa kundi la nguruwe pori[emoji1787]
 
[emoji38][emoji38] usikute hata hawazi kama alikuwa na mtu...

Tupunguze hasira...maisha ndo haya haya...[emoji16][emoji16]
Weeeehhh!!!acha kabisaa sema nikiacha mmeacha sirudiii ng'oooo!!nikimtaka hata sasa hivi anarudi sema!
Too late to catch the train!!!

Afu si unajua tunanonegesha kijiwee[emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Weeeehhh!!!acha kabisaa sema nikiacha mmeacha sirudiii ng'oooo!!nikimtaka hata sasa hivi anarudi sema!
Too late to catch the train!!!

Afu si unajua tunanonegesha kijiwee[emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
[emoji38][emoji38] kama kule ulikotoka kuzuri bora urudi...

Sawa nimekusoma , story za vijiwe [emoji38][emoji38]
 
Weeeehhh!!!acha kabisaa sema nikiacha mmeacha sirudiii ng'oooo!!nikimtaka hata sasa hivi anarudi sema!
Too late to catch the train!!!

Afu si unajua tunanonegesha kijiwee[emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Hakuna kurudi Kwa manguruwe ya pori
Songa mbele kama injili ya Paulo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanaume leo tumeitwa nguruwepori - jina baya kabisa na lenye kudhalilisha sana dah! Wanaume tunakwama wapi?

Njooni tukae kikao tujadili hili suala aisee maana siyo poa! [emoji16][emoji16][emoji16]
Sio wote yulee tuu!![emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]wengine wazuri Sanaaa!
Wanaume wazuri wapo wengi sana tu ktk uso wa ardhi na mangurue pori yapo mengi tu!!!!
Wale wazuri tunawapenda afu tunawapenda tena yaani!tunawapa mahaba kama yotee
 
Uzee dhahabuu!uko vzr kwenye ushauri
Mama terry anasomwa kwakoo!!!

Oyeeee
 
Umemaliza kabisaaa!!![emoji8][emoji8][emoji8][emoji7][emoji7][emoji8][emoji8][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847][emoji847]ukija Dom wandai kuku wa Tango bar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…