Selfika na JF: Snap it. Show it

Kupendwa raha watamani kurudisha siku nyuma ila unabaki kusema ahsante Mungu maana kila jaribu lina funzo ndani yake na hakuna mtu mbaya wa moja kwa moja

Una tabia mbayaa mweehh!yaani wewe jamani nakununia Mimi!yaani konfidensi iyo kwiooo!!au unaogopa nakula watu
!!!!
 
Kuna muda mtu unapendwa hadi unatamani utangaze

Nguruwepori popote mlipo Aloo Huku mambo ni moto nyie




.....
Yaani sijui hata najiteteaje

Ngoja Heaven Sent atakuja kunisaidia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…