cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,299
Tayari Mkuu, pitia Kwa Wakala wa MoneyGram hapo Mlimani City uchukue Jacky Daniels yako![]()





wacha wee.Ooh sawa rafikiBiblia yangu
Haina jeremiah
Lakini Yeremia 1:5
Inasema;
Kabla sijakuumba katika tumbo
Nalikujua
Na kabla hujatoka tumboni
Nalikutakasa nimekuweka kuwa nabii wa mataifa
Nipo hapa,![]()

Sio hapa hapa? Had PM?Leo kazi ninayo. Naomba nitumie Suggestions zako PM nizione, huenda nikashawishika.![]()




Hiyo lughaOoh sawa rafiki
Kama vile Mungu alivyomuita Jeremiah , hivyo hivyo anawez kutumia wale wanaomuamini na anaweza mtumia mtu yoyote yule ,endapo tuta submit ourselves tuweze kutumika na yeye .
Shouzzz upo tayariiiiiii?



Nimekosa aaaah
Ujue sijalalaHayo maji ya kitulo,![]()
Am ready shoss!!!🤩🤩😘Shouzzz upo tayariiiiiii?![]()
PoleeeNimekosa aaaah
Mmh umeelewa bhana ...Hiyo lugha
Unanichanganya
.Kaiwahi mwamba!🙆🙆!Nimekosa aaaah
Usimwage mchele kwenye Kuku wengi wasije kuiba idea bure! 😄Sio hapa hapa? Had PM?![]()
Fanya mamboz!!!wee nipo hapa.