Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
BinafsiMmh umeelewa bhana ...
Usikute unapiga kienglish sio cha nchi hii.
Najua
Kusoma na kuandika
Kwa lugha ya kiswahili
Hizo lugha zingine bhas tu
Ingawa nakutana nazo
Kwenye kusaka mkate
BinafsiMmh umeelewa bhana ...
Usikute unapiga kienglish sio cha nchi hii.
Asante sana dear! Ubarikiwe sana ... ngoja kesho nitafute hivo vitu nianze ziezi rasmi nitakupa mrejesho mamy! shukranimahondaw dear ili kupambana na kitambi jitahidi uache vinywaji vyenye Sukari nyingi...usiku jitahidi Sana ule matunda kama wali mara moja moja .. asubuhi tumia chai yenye mchanganyiko wa unga wa majani ya machungwa..tangwaizi..karafuu na pilipili manga kidogo..kwenye maji..vugu weka na asali kidogo kunywa na jioni pia nusu saa kabla ya kulala..😊
Amen..Ameen ..kila la kheri dearAsante sana dear! Ubarikiwe sana ... ngoja kesho nitafute hivo vitu nianze ziezi rasmi nitakupa mrejesho mamy! shukrani
Amen..Ameen ..kila la kheri dear
Mkuu asante
Ubarikiwe mkuuMkuu asante
Nyie wanaume kha!!🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆Mkuu asante
Binafsi
Najua
Kusoma na kuandika
Kwa lugha ya kiswahili
Hizo lugha zingine bhas tu
Ingawa nakutana nazo
Kwenye kusaka mkate
Wanawake mmelalaNyie wanaume kha!!🙆🙆🙆🙆🙆🙆🙆
Ubarikiwe mkuu
Usisahau kuselfika
Kabisa ndio sharti la credo!Ubarikiwe mkuu
Usisahau kuselfika
Leo bahati imeniangukiaNyie wanaume kha!!![]()
Selfika wadau washudie kama yaliyomo yamo😅
Uwe na wakatiHaya rafiki ...
Uwe na wakati
Mwema
Huwa nasita sana
Kukuita rafiki
Hata sijui kwanini
Coca's face