reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,454
- 29,360
Aje mpk kwangu sitoki miye at this hours!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila jamani muda huu kweli? Labda aje hadi kwako.
Aje mpk kwangu sitoki miye at this hours!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila jamani muda huu kweli? Labda aje hadi kwako.
Shouzzz kwa mshape umebarikiwa bhana, wengine umafiki hatuwezi shape liko, trakooo kweli trakoooo weuweeeeeeeh [emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]Awapi best sina lolote ni camera tu!!!!
Yaani wakiamua wanaamua watu!afu ujue wengine wanapitaga kimya kimya umu![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sana binamu.
Naipenda camera yakoAwapi best sina lolote ni camera tu!!!!
Si uende mpaka kwake jaman wee bray lol, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unaona sasa
Whaat?!!acha usanii we njoo mpk home!!Unaona sasa
Akae kwa kutuliaWatu weuweeeeeeeeeeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijui anaogopa ninii!akati mmempa ruhusa aje!!!huyu msanii!!Si uende mpaka kwake jaman wee bray lol, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Parodies lazima wawepo kila mtandao yaan, wana zoom kimya kimya. UwiiiiiihYaani wakiamua wanaamua watu!afu ujue wengine wanapitaga kimya kimya umu!
Balaa tupuu!yaani ana mshepu wa kihaya au kinyaki haswaaa!!!hinhaaaShouzzz kwa mshape umebarikiwa bhana, wengine umafiki hatuwezi shape liko, trakooo kweli trakoooo weuweeeeeeeh [emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
🥱🥱🥱🥱🥱🥱😂😂Naipenda camera yako
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Akae kwa kutulia
wiii unanijaza wiiii!!!🙄🙄🙄Balaa tupuu!yaani ana mshepu wa kihaya au kinyaki haswaaa!!!hinhaaa
Hinye gwede gwede [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Balaa tupuu!yaani ana mshepu wa kihaya au kinyaki haswaaa!!!hinhaaa
Nawaza mzee baba anazoom sasa,afu unatoka kuchukua kuku unapigiwa simu!!aloo[emoji2][emoji2][emoji2]rudi ndaniiii[emoji2][emoji1][emoji1][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]Parodies lazima wawepo kila mtandao yaan, wana zoom kimya kimya. Uwiiiiiih
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo itakua hataki sasa. WoiiiiihSijui anaogopa ninii!akati mmempa ruhusa aje!!!huyu msanii!!
We hukuona alimtaja Bishanga[emoji3][emoji3], bora nije kwako. tuu, huyu anazingua.Si uende mpaka kwake jaman wee bray lol, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] binamu nimecheka hapo yaan, sasa km yuko hapo hapo ndani ni kisanga uwiiiiihNawaza mzee baba anazoom sasa,afu unatoka kuchukua kuku unapigiwa simu!!aloo[emoji2][emoji2][emoji2]rudi ndaniiii[emoji2][emoji1][emoji1][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16]
Eeh!sa ntajifananisha na miyee skeleton, miye ni mwembamba by nature nanenepa kwa msimu tuu!!yaani mpk nashindwaga kujielewa,shapeless Mungu tu hakunyimi vyote kanipa viungo vilivyo kamili nashukuru Mungu sana tuu!!!wiii unanijaza wiiii!!![emoji849][emoji849][emoji849]