Weweee...Sijui anaogopa ninii!akati mmempa ruhusa aje!!!huyu msanii!!
We hukuona alimtaja Bishanga, bora nije kwako. tuu, huyu anazingua.






sasa mnakutana nje gate hapo? Au wee unaonaje?Hebu acha kuzeveza dogo!!mgaigai sana weee!wanaume wa Dar wasanii Sana'aWe hukuona alimtaja Bishanga, bora nije kwako. tuu, huyu anazingua.



we lete kuku!!!Hebu acha kuzeveza dogo!!mgaigai sana weee!wanaume wa Dar wasanii Sana'awe lete kuku!!!







nimecheka mbavu sina woiiiiiihAnakujua mbonaa!kwani hakujui!Weweee...
Hivi atakama ninezeeka ndo kiasi hicho.
Huyo Bishanga utawambia mimi ni kaka yake na babu yako sio?
Anajua mbona huyu brai msaniibinamu nimecheka hapo yaan, sasa km yuko hapo hapo ndani ni kisanga uwiiiiih




analeta natoka na mdogo wangu tunachukua tunarudi ndani baasi namshukuru!!!Unataka ujue urefu wangu Ni cm 174Hebu post wee yako, mie nataka kifuani hadi miguuni.
Yani kama huji kuchukua mpaka hapa nilipo nageuza.Anakujua mbonaa!kwani hakujui!
We mzee baba hana shida hapa si anaona mbona!Fanya mambo bwanaa!!unaleta unarudi kwako au umtume boda basiiii
Anajua mbona huyu brai msaniianaleta natoka na mdogo wangu tunachukua tunarudi ndani baasi namshukuru!!!




hapo sasa ashindwee yeye tyuuh.Nimesema picha yako, wala sitaki urefu wako mie. Wee weka picha basUnataka ujue urefu wangu Ni cm 174




Na me ndo nataka atoke walau nje ya gate. Analeta ubibi tuusasa mnakutana nje gate hapo? Au wee unaonaje?
Anakujua mbonaa!kwani hakujui!
We mzee baba hana shida hapa si anaona mbona!Fanya mambo bwanaa!!unaleta unarudi kwako au umtume boda basiiii





asilete usanii wake hapa lol.Wanaume wa Dar wasanii km Dada zao haki ya Mungunimecheka mbavu sina woiiiiiih










Ukimsikiliza huyo atakudanganya tuu.hapo sasa ashindwee yeye tyuuh.
Uko wapi?!!!Yani kama huji kuchukua mpaka hapa nilipo nageuza.
Sasa kwani yeye kasemaje? Si mkutane nje ya gate hapo?Na me ndo nataka atoke walau nje ya gate. Analeta ubibi tuu




