Si nikalogin kwa jf App ikazingua kuload picha Mara paaa naona ma mtumishi katupia kitu afu loading error weee ile kuwahi kuingia kutumia browser nakutana selfii la mandhari uuwiii!
!! Nikajua kitu cha mshono mattatta kama kawaida yake!!
Acha Kabisa ma mchungaji.. si unajua venye App inavozingua mpaka zisome% sasa click click click inasoma 0% doh ndio kukimbilia browser nilichokutana nacho nikabaki tu
Nitaulizia wataalamu wa Nguzo Camp wanielekeze halafu nitaanzia operesheni yangu ya kukusaka nikiwa hapo. Nikifika huko Kingolwila, Cate Hotel, soko la karibu na mzumbe na hilo la Kingalu na nyumba kadhaa za ibada mbona ntakudabua MamaMchungaji?
Nitaulizia wataalamu wa Nguzo Camp wanielekeze halafu nitaanzia operesheni yangu ya kukusaka nikiwa hapo. Nikifika huko Kingowira, Cate Hotel, soko la karibu na mzumbe na hilo la Kingalu na nyumba kadhaa za ibada mbona ntakudabua MamaMchungaji?
nna maeneo yangu napuyanga kwa miguu mie, hasa nyumbani nikitoka asubuh tukutane jioni, ni mizururo com, mie ujanja wangu ni home, ugenini hapana, afu soon ntakua hapo moro town kwa siku 3 then nasepa home huko bondeni,
nna maeneo yangu napuyanga kwa miguu mie, hasa nyumbani nikitoka asubuh tukutane jioni, ni mizururo com, mie ujanja wangu ni home, ugenini hapana, afu soon ntakua hapo moro town kwa siku 3 then nasepa home huko bondeni,