Kama unamfahamu yeyote aliyefiwa na mwenza na alikuwa na Account CRDB Bank nakuomba umtaarifu afike kwenye tawi iliko account ya mwenza ndani ya miezi sita tangu kifo kilipotokea kuna mafao anayostahili kupewa. Ni watu wachache wanaofahamu kuhusu fao hili. Na kama mfiwa na marehemu wote wana Account CRDB mafao yanakuwa ni mara 2.
Jamani tusambaze upendo huu hata kwa makundi mengine ili watu wengi waweze kupata taarifa hii wasipoteze mafao/haki yao pale kifo kinapotokea.