Ndiyo. Tunatishwa eti kuna moto kwetu sisi wapenda misambwanda japo wengine kama Jehovah Witness wanasema hakuna kitu kama hicho na ni vitisho tu vya watu ili waweze kuogofya na kuwatawala wengine...
Niombee nisiende motoni Mama Mchungaji (kama kweli kuna moto!)