cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,172
Ongeza ushawishi aselfike




huyu mlongo ataweka tyuuh hata achelewe yaan lol.Ongeza ushawishi aselfike




huyu mlongo ataweka tyuuh hata achelewe yaan lol.Kishundu gani tena bina?Binamu kishundu choote hichooo!!!pleasew!nipunguzie na miye tafadhali!
=77694]JamiiForums mobile app[/URL]
Nkamu umetokea wapi lakini?Dooh hatimaye leo nimefuma picha yako hapa![]()


YatawashindaIla nimeingia kuichukua kwa ajili ya ndugu yako![]()
Hadi wewe umewahi leo daahLeo nimembahatisha Mama Mchungaji laivu uwiii !!!
Fayaaaa![]()
Utajua haujuiUtajikuta unasema wakari wenzio tushaenda mbele ya muda![]()
Akina nani?

Mmejua kunisurprise.Tupo hapa hapa tulikua tukisali na kuomba hatimaye mama mchungaji kashusha kitu![]()
Hahaha Leo ni siku njema kwako binaLeo mmefurahii!!halafu sasa nimeingia ghafla tuu!
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Usianze uchambuzi juu ya mama Mchungaji tasavaliiiiiiHatimaye leo mama malezi nimekuona uwiiiih, nimependa vidole kwa kweli, rangi adimu ya chocolate, baba mchungaji anafaidi wallah![]()




Yaani watu tumeibuka from nowhere. Mama Mchungaji una ushawishi wa hali ya juu. Ningejua huduma yako iliko huko Uyole aisee ningefika kwa ajili ya maombezi wallahi!
Usije huku; waumini wangu wengi wana misambwanda. Hutopokea chochote ibadani😅😅😅Yaani watu tumeibuka from nowhere. Mama Mchungaji una ushawishi wa hali ya juu. Ningejua huduma yako iliko huko Uyole aisee ningefika kwa ajili ya maombezi wallahi!
Imagine mi wala sikuwa na hili wala lile lakino Roho Mtakatifu Akanishawishi kufungua uzi dah!