Selfika na JF: Snap it. Show it

wacha bhana, pension kuduvua kawaida, tena unifanyie mpango kwa m1 unaeona pension yake inapumua huko bank, ili niisaidie mie kwa mirija. Uwiiiiiiih
Hahahahaha.....unataka kupewa kesi ya mauaji, manake sisi wazee hatuchelewi kumeza Viagra ili kuendana na kasi yenu mwisho wa siku unakuta tunajifia kifuaniπŸ™ŠπŸƒπŸƒπŸƒ
 
Wewe mjukuu usinipe vishawishi asubuhi yote hii nikapitia Benki kwaajili ya kukufanyia mwamala πŸ˜‚πŸ˜‚

Ngoja nile zangu kwanza chakula Cha kiroho hapa Kwa Mwamposa πŸ™Š
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…