Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

NDINDA
Kashaija72

pale unapo enda opp na mambo... lazima ufurahishwe kwa upande wa pili... umuhimu wa SL View attachment 2129207
Yes kawaida.
Naona kama jamaa wasiocheka wameanza usafi.
Screenshot_20220224-104057.jpg
 
Ukraine hapigani vita na Russia, alichofanya Russia ni ubabe na ushari.. Ukraina hana uwezo wa kupigana na Russia
True, lakini Ukraine ni koloni la Russia, mrusi ana interest za kutosha kwa Ukraine na Ukraine anamtegemea mrusi kwa zaidi ya 50% ya resources, hivyo sio rahisi kumuamchia awe na uhuru kwa nchi za magharibi...ni sawa na Tanganyika na Zanzibar tu..
 
True, lakini Ukraine ni koloni la Russia, mrusi ana interest za kutosha kwa Ukraine na Ukraine anamtegemea mrusi kwa zaidi ya 50% ya resources, hivyo sio rahisi kumuamchia awe na uhuru kwa nchi za magharibi...ni sawa na Tanganyika na Zanzibar tu..
Na hili ndio Russian wanahofia hasa baada ya Ukraine kutaka kwa udi na uvumba awe NATO..
 
Back
Top Bottom