Kashaija72
JF-Expert Member
- May 18, 2020
- 2,522
- 5,576
Yes kawaida.NDINDA
Kashaija72
pale unapo enda opp na mambo... lazima ufurahishwe kwa upande wa pili... umuhimu wa SL
View attachment 2129207
Naona kama jamaa wasiocheka wameanza usafi.
Yes kawaida.NDINDA
Kashaija72
pale unapo enda opp na mambo... lazima ufurahishwe kwa upande wa pili... umuhimu wa SL
View attachment 2129207
Nasikia ngano ya kutengeneza mikate hapa nchini Kwa asilimia kubwa inatoka Ukraine. Kuna uwezekano tukajikuta tunakula mihogo asubuhi.Hii italeta majanga sana mkuu, hata tusiohusika tunajumlishwa, Dont stop, keep trading.
Hiyo nguvu huna wewe Baki kwenye gospel songs na Tenzi.Sina haja ya kusifu.. unachezewa kidevu na pisi kali mbili moja kulia moja kushoto.. unafikiri pigo la broker litakutesa basiii![]()
mchawi RussiaYes kawaida.
Naona kama jamaa wasiocheka wameanza usafi. View attachment 2129415
Throwback ThursdayTBT ndio nini mamaaa pastaaa
sijui mie mshambaaaThrowback Thursday
Ndiyo umeshajua sasa, umefuta ushambasijui mie mshambaaa
Yes kawaida.
Naona kama jamaa wasiocheka wameanza usafi. View attachment 2129415
acha ukali basi 😃😃😃😃Ndiyo umeshajua sasa, umefuta ushamba
Russia mkuda sana..Lisaa limoja toka waanze Tayari Airbase na Navy za Ukrane kwishney。hawawezi kukuruka. Inaweza kuwa Vita fupi sana .
Ukraine hapigani vita na Russia, alichofanya Russia ni ubabe na ushari.. Ukraina hana uwezo wa kupigana na RussiaLisaa limoja toka waanze Tayari Airbase na Navy za Ukrane kwishney。hawawezi kukuruka. Inaweza kuwa Vita fupi sana .
Hapana jamani, si nimefurahi umefuta ushambaacha ukali basi![]()
Mamaaa pastaaa.. safi kama umefurahiHapana jamani, si nimefurahi umefuta ushamba
Eeeeh na ofa ya TBT utaipataMamaaa pastaaa.. safi kama umefurahi



Sina zari na ofa zenu.. 😢😢😢😢Eeeeh na ofa ya TBT utaipata![]()
Jamani, kwa nini?Sina zari na ofa zenu..![]()
True, lakini Ukraine ni koloni la Russia, mrusi ana interest za kutosha kwa Ukraine na Ukraine anamtegemea mrusi kwa zaidi ya 50% ya resources, hivyo sio rahisi kumuamchia awe na uhuru kwa nchi za magharibi...ni sawa na Tanganyika na Zanzibar tu..Ukraine hapigani vita na Russia, alichofanya Russia ni ubabe na ushari.. Ukraina hana uwezo wa kupigana na Russia
Na hili ndio Russian wanahofia hasa baada ya Ukraine kutaka kwa udi na uvumba awe NATO..True, lakini Ukraine ni koloni la Russia, mrusi ana interest za kutosha kwa Ukraine na Ukraine anamtegemea mrusi kwa zaidi ya 50% ya resources, hivyo sio rahisi kumuamchia awe na uhuru kwa nchi za magharibi...ni sawa na Tanganyika na Zanzibar tu..