Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Unatoboa ozon
acha weee nimerudi room saa moja asubuhi.. kama barmaid vile 😃😃😃😃 sema leo imekuwa chungu kweli muuza mshikaki alinidhulumu jero tumewashiana kidogo nimchape mikono.. 😃😃😃.. nimekaa pale kumbe wadada wezi wameniibiaje sijui hela kangu roho imeniuma hadi usingizi sijapata.. pale sirudi tena
 
una hatari sana kuendesha gari una tawi la mkrisimasi sio poa.. labda kwa trip za town ila kama mtu wa masafa unaweza ita breakdown kutoka dar ije ikubebe .. kuna jamaa alikuwa na Volkswagen ikaloga manyoni pale mbona gari ilipakiwa na gari kurudi dar es salaam

Yangu haijawahi piga route ndefu, Route ndefu zaidi imewahi kupiga ni Kibaha pale Puma Fiiling station.
Lakini kila siku ni town hapa hapa. Ikiloga hamna shida .
 
Screenshot_20220218-235304.jpg
 
hiyo chuma ya mzungu .. sijawai pata Christmas tree hata siku moja.. cha ajabu kwenye Crown yangu ndio kulikuwa na tawi la Christmas ila kwa mzungu hakujawai kuwa hata na nukta zaidi ya siku moja nilipasua sump ndio ikaniwashia oil level down.. sasa hivi huwa natumia jaguar mala moja moja.. sijakutana na mti wa christmas.. haya magari matunzo mkuu ulaya ni ulaya mzee

Hivi mkuu na wewe kwani ni Mhaya? Nogambaki?

(Wahaya ni watani zangu...)
 
Back
Top Bottom