Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Happy birthday to me, Mr.Lucchese
IMG_20220217_003922.jpg
 
hiyo chuma ya mzungu .. sijawai pata Christmas tree hata siku moja.. cha ajabu kwenye Crown yangu ndio kulikuwa na tawi la Christmas ila kwa mzungu hakujawai kuwa hata na nukta zaidi ya siku moja nilipasua sump ndio ikaniwashia oil level down.. sasa hivi huwa natumia jaguar mala moja moja.. sijakutana na mti wa christmas.. haya magari matunzo mkuu ulaya ni ulaya mzee

Noma sana mkuu, Mimi nina m christmas mmoja umenifyonza damu karibia yote , mara ya Mwisho nimeenda pale Noble Motors Wakanifyonza na bado mti unamea pale pale Nimeamua kuishi nao tu.
 
Noma sana mkuu, Mimi nina m christmas mmoja umenifyonza damu karibia yote , mara ya Mwisho nimeenda pale Noble Motors Wakanifyonza na bado mti unamea pale pale Nimeamua kuishi nao tu.
😃😃😃 una hatari sana kuendesha gari una tawi la mkrisimasi sio poa.. labda kwa trip za town ila kama mtu wa masafa unaweza ita breakdown kutoka dar ije ikubebe 😃😃😃.. kuna jamaa alikuwa na Volkswagen ikaloga manyoni pale mbona gari ilipakiwa na gari kurudi dar es salaam
 
Back
Top Bottom