Selfika na JF: Snap it. Show it

Asante shemeji...Wapwa wapige kitabu vizuri japo sasa tunaaminishwa na akina Dr. Musukuma kuwa elimu haina maana tena


Hao Tiaraei watajua kuwa hawajui...

Tubaki na uzima shemeji
Amina shemeji.
Njia yetu ilisha tengenezwa na Muumba wetu tangu tungali tumboni mwa mama zetu,watakao jitokeza mbele yetu tuwachukulie ni upepo wa " kusi" na muda ukifika watabadilika na kuwa upepo wa "kasikazi"
Tiraeii wafe wote wallahi...
Money lavusi yu shemeji...
 
Umenena ukweli mtupu Kama wafalme walikua nao wengi sisi kwanini tubaniwe au ni propaganda tu NB: HIO MIZIGO PICHANI SHEIKH SIO MCHEZO
 
Eti ujitoe ufahamu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…