Selfika na JF: Snap it. Show it

Yaani hapo tu hawa shwaini ndipo nashwindwa kuwaelewa...
Kwani kale kaupenyo hakawezi kutumika?

Huku kwema kabisa,wapwa zako wote nimewatembelea jana na leo,kesho narudi kwa Kabula.
Mpe salaam binti yangu, Mungu azidi kumpambania.
Asante shemeji...Wapwa wapige kitabu vizuri japo sasa tunaaminishwa na akina Dr. Musukuma kuwa elimu haina maana tena


Hao Tiaraei watajua kuwa hawajui...

Tubaki na uzima shemeji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…