Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,417
Asante sana rafiki...
Hatimae nimekuona live so byutiii
AmenAsante sana rafiki...
Hata hiyo huzuni na ikaondoke sasa
Ameen Shem ubarikiwe tena na tena busara zako ziongezeke zaidi na zaidi ubarikiwe na familia yako!
Huyu is my disease nowadays kumuwaza sio option!!!wengine wadhaifu tukipenda dunia yote inajua
Umeona lakini rangi hiyo ya mtume? Msukuma hapo hata ng'ombe na mashamba yote ya ukoo tunauza. Hatari sana!Hatimae nimekuona live so byutiii!!natamani kusukaa
Hahha!ahsante sana kwa maneno yako Aseehh!yaani I can imagine watu wa karibu wanavoinjoi kwa kweli sidhani km wanapata msongo wa mawazoHapana. Huyo bro atakuwa na lake jambo. Au ni wale Wasukuma wa zamani waliolelewa kwenye mfumo dume na polygamy. Wakipata vihela tu basi kitu cha kwanza ama ni kuongeza wake au michepuko. Wala siyo kosa lako shemu hata siku moja usikae ukajilaumu...By the way asingeenda zake senene za Italy ungezionja lini? Good riddance shem
Camera ilinikubali tu hapo .Umeona lakini rangi hiyo ya mtume? Msukuma hapo hata ng'ombe na mashamba yote ya ukoo tunauza. Hatari sana!
Na nyie mabinti wa pwani nyinyi ni hatari sana. Niliwahi kupata kamoja kidogo nidisco chuo yaani hata sijui nilipata pataje first class. Mkipenda kweli mnapenda dah! Ka Halima sitakaa nikasahau wallahi
Unashindwa kula senene dah! Kwa mulangira hilo ni kosa kubwa mno. Jitahidi tu utawazoea. Mbona watamu sana?Hahha!ahsante sana kwa maneno yako Aseehh!yaani I can imagine watu wa karibu wanavoinjoi kwa kweli sidhani km wanapata msongo wa mawazo!!!
Nshamsamehe Mimi yangu yanaenda...hapo kwa senene wa Italy sasa huwezi amini wamenishinda kula!!!
Mmeiona asseehh!wasukuma kwenye wanawake weupe sijui waliona nini!!!!yaani wale mashemeji zangu wooote wameoa wanawake weupe kuna mmoja alimtakaga mdogo wangu wa kuzaliwa siku 1 alimuona weee!alimsumbua jamanii sina hamu!!!ni mweupe!!halafu kana kashepu kidogo!!Umeona lakini rangi hiyo ya mtume? Msukuma hapo hata ng'ombe na mashamba yote ya ukoo tunauza. Hatari sana!
Ngoja nianze kusuka dear!nna kikomwe shosti cha balaa!!!Ooh thanks japo ni picha ya muda kweli .
Uje usuke maana ukiwa sura inazidi kupendeza , mimi natamani niweke hii style .View attachment 2120634
Nilikuwa bado na ushamba wa Kisukuma aisee. Kalinipelekesha dah! Yaani nikipata boom lote nakapa ila kalikuwa kanajua kupika hatari. Mpaka nilinenepa yaani. Sema sasa usiku weeeh! Kesho yake madarasani ni kupiga miayo tu lekchara anachora magrafu ya Economics ubaoni mi wala siyaelewi. Ila Mungu siyo Athumani nikafaulu aisee....loooh sio wote wengine kama sisi hatuna kituu!!
Shem ulipagawa ukapagawa tena!alikua anakupa zile 'hamza kafia ubalozini"mpk unaomba poo!!hahaha mi naskiaga tu Ila sijui km tupo hvyoo!!tunajua kupenda haswaa
Hapana sijui nawaonaje aseehh!nimewashindwaa Mimi!!!Unashindwa kula senene dah! Kwa mulangira hilo ni kosa kubwa mno. Jitahidi tu utawazoea. Mbona watamu sana?
View attachment 2120635
Ingekuwa ni hawa jamaa hapa chini ungewaweza?
View attachment 2120636
Huyo cheupe mwenye kashepu ameshaolewa au bado shem? Nina mtoto wa dada tena yuko huko huko Dar sema neno moja tu tuwe ndugu sasa hivi shemMmeiona asseehh!wasukuma kwenye wanawake weupe sijui waliona nini!!!!yaani wale mashemeji zangu wooote wameoa wanawake weupe kuna mmoja alimtakaga mdogo wangu wa kuzaliwa siku 1 alimuona weee!alimsumbua jamanii sina hamu!!!ni mweupe!!halafu kana kashepu kidogo!!
Kikomwe kinasaidia sana ,mimi huwa kinanisave kila nilisuka kinachomoza na kufanya niwe nimependeza .Ngoja nianze kusuka dear!nna kikomwe shosti cha balaa!!!
Ukinyoa hvyo utanoga sanaa
Nilikuwa bado na ushamba wa Kisukuma aisee. Kalinipelekesha dah! Yaani nikipata boom lote nakapa ila kalikuwa kanajua kupika hatari. Mpaka nilinenepa yaani. Sema sasa usiku weeeh! Kesho yake madarasani ni kupiga miayo tu lekchara anachora magrafu ya Economics ubaoni mi wala siyaelewi. Ila Mungu siyo Athumani nikafaulu aisee....
Binti wa Kizaramo akikuamria umekwisha shem
Utanoga balaa ukinyoa na kikomwe chako!!na tukisuka tunapendeza bwana!Kikomwe kinasaidia sana ,mimi huwa kinanisave kila nilisuka kinachomoza na kufanya niwe nimependeza .
Ngoja nione kama nitanyoa hivi maana nywele zimegoma hazikui .
Huyo cheupe mwenye kashepu ameshaolewa au bado shem? Nina mtoto wa dada tena yuko huko huko Dar sema neno moja tu tuwe ndugu sasa hivi shem
Ooh iwe hivyo ,la sivyo nitaanza kuvaa mawigi kila sehemu .Utanoga balaa ukinyoa na kikomwe chako!!na tukisuka tunapendeza bwana!