kipindi hicho ukiwa na begi.. unaonekana wa kishua.. na soksi za pundamilia na viatu vyako safi plus kiwi.. wengine hadi tunaenda na malapa yameshikizwa na kamba.. hakuna kukaaa paredi kwenye ukaguzi ππππ au unajificha kwa wapiga bend maana wao hawakaguliwa
πππ mnabahati sana, kiumbe kama Depal hakuna asie taka kuwa nachoo.. cheki ka sura kale ( innocent sura) tume shavu tule.. dah nawatamania.. mie tu humu ndio nagalagazwaaa ππ