Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Feb 13, 2022 #146,921 Chakorii said: kama kweli vile mama Pep Click to expand... Yaani unavyoandikaga humu basi nilukuwa navuta picha tofauti kabisa na nilichokiona. Pep anakusalimia.
Chakorii said: kama kweli vile mama Pep Click to expand... Yaani unavyoandikaga humu basi nilukuwa navuta picha tofauti kabisa na nilichokiona. Pep anakusalimia.
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Feb 13, 2022 #146,922 Chakorii said: Ashukuriwe Mungu kwakweli..maana safari ilikuwa ni ndefu mnooo ila abiria jirani niliyekaa nae aliifanya ikawa fupi Click to expand... Kweli inaonyesha safari ilikuwa ndefu,kufika saa6 si mchezo Leo hujakaa na wasukuma wanaopayuka njiani kama redio Ulikaa na mtu wa aina gani?
Chakorii said: Ashukuriwe Mungu kwakweli..maana safari ilikuwa ni ndefu mnooo ila abiria jirani niliyekaa nae aliifanya ikawa fupi Click to expand... Kweli inaonyesha safari ilikuwa ndefu,kufika saa6 si mchezo Leo hujakaa na wasukuma wanaopayuka njiani kama redio Ulikaa na mtu wa aina gani?
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Feb 13, 2022 #146,923 Pep said: Mama Pep njoo tusherekee ushindi for the whole night View attachment 2117748 Click to expand... Hii wiki kazi ninayo
Pep said: Mama Pep njoo tusherekee ushindi for the whole night View attachment 2117748 Click to expand... Hii wiki kazi ninayo
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Feb 13, 2022 #146,924 Depal said: Yan raha niliyo nayo natamani nimpe offer X akalale Gran Melia hotel na mchepuko wake Click to expand... Dah Chelsea msitunyanyase
Depal said: Yan raha niliyo nayo natamani nimpe offer X akalale Gran Melia hotel na mchepuko wake Click to expand... Dah Chelsea msitunyanyase
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Feb 13, 2022 #146,925 Chakorii said: Umeanza cha ubishi… Hivi unavyoandika utafikiri kweli vile..mtaalamu wa kubashiri Hivi tangu tumuozeshe Pep na kusalimia shemeji zake kumekata… Mwambie fresh Click to expand... Hiyo picha ni yako Nimeangalia mguu Yaani hata sio mfupi kumbe.
Chakorii said: Umeanza cha ubishi… Hivi unavyoandika utafikiri kweli vile..mtaalamu wa kubashiri Hivi tangu tumuozeshe Pep na kusalimia shemeji zake kumekata… Mwambie fresh Click to expand... Hiyo picha ni yako Nimeangalia mguu Yaani hata sio mfupi kumbe.
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Feb 13, 2022 #146,926 Chakorii said: Mwanza parefu Sana. Nimekaa na mkaka mzuri mzuri Sijui kachanganyika na mnyarwanda yule jamani…yani nilikuwa namlalia makusudi. Mkaka yule kajua kunifupishia safari Click to expand... Eeeehhh!! Yeye ameshukia wapi? Mbezi au Shekilango??? Nimekumbuka kondakta fulani,wakati gari inaelekea mbezi,akawa anatoa matangazo;tangazo la kwanza akasema "ndio tumefika hivyo, nawakumbusha kuchukua namba..msiseme sikuwaambia"
Chakorii said: Mwanza parefu Sana. Nimekaa na mkaka mzuri mzuri Sijui kachanganyika na mnyarwanda yule jamani…yani nilikuwa namlalia makusudi. Mkaka yule kajua kunifupishia safari Click to expand... Eeeehhh!! Yeye ameshukia wapi? Mbezi au Shekilango??? Nimekumbuka kondakta fulani,wakati gari inaelekea mbezi,akawa anatoa matangazo;tangazo la kwanza akasema "ndio tumefika hivyo, nawakumbusha kuchukua namba..msiseme sikuwaambia"
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Feb 13, 2022 #146,927 Pep said: Kwa haka kahali ka hewa ukimbukia Melia ya chuga utakua umemfaa sana...kesho watatoka magoti yanatetemeka Click to expand... Tuone elezea vizuri hapo kwenye kutetemeka, Kwamba baridi itakuwa kali hadi isome negative nyuzi juzi joto
Pep said: Kwa haka kahali ka hewa ukimbukia Melia ya chuga utakua umemfaa sana...kesho watatoka magoti yanatetemeka Click to expand... Tuone elezea vizuri hapo kwenye kutetemeka, Kwamba baridi itakuwa kali hadi isome negative nyuzi juzi joto
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Feb 13, 2022 #146,928 Chakorii said: Kwahiyo mimi ni mrefu mtakatifuhiki ni kigezo namba moja cha kuchanganya mafaili. Ukitoa lokesheni ya uliponionea basi nitatengua kauli Click to expand... Hee Yaani siyo mtefu,lakini pia si mfupi kama nilivyofikiria. Hicho kimo kwa mwanamke ni cha kawaida.
Chakorii said: Kwahiyo mimi ni mrefu mtakatifuhiki ni kigezo namba moja cha kuchanganya mafaili. Ukitoa lokesheni ya uliponionea basi nitatengua kauli Click to expand... Hee Yaani siyo mtefu,lakini pia si mfupi kama nilivyofikiria. Hicho kimo kwa mwanamke ni cha kawaida.
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Feb 13, 2022 #146,929 Chakorii said: Umeanza cha ubishi… Hivi unavyoandika utafikiri kweli vile..mtaalamu wa kubashiri Hivi tangu tumuozeshe Pep na kusalimia shemeji zake kumekata… Mwambie fresh Click to expand... Inakuandalia zawadi. Una zawadi yetu special,amini nakuambia.
Chakorii said: Umeanza cha ubishi… Hivi unavyoandika utafikiri kweli vile..mtaalamu wa kubashiri Hivi tangu tumuozeshe Pep na kusalimia shemeji zake kumekata… Mwambie fresh Click to expand... Inakuandalia zawadi. Una zawadi yetu special,amini nakuambia.
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Feb 13, 2022 #146,930 Chakorii said: Ashukie mbezi…wewe ulisikia wapiwote mpka mwisho wa gari. Huyo konda ukimuona mwambie aache ukuda.. Siri ya kambi haisemwi Click to expand... Ila si umekumbuka kuchukua namba
Chakorii said: Ashukie mbezi…wewe ulisikia wapiwote mpka mwisho wa gari. Huyo konda ukimuona mwambie aache ukuda.. Siri ya kambi haisemwi Click to expand... Ila si umekumbuka kuchukua namba
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Feb 13, 2022 #146,931 Chakorii said: Ni kweli kabisa sio “mtefu “ Acha kucheza kamari dogo Click to expand... Tobaaaa Mwee nimechapia Ila sio mfupi, Ngoja aje HS anisaidie hapa kutetea hili
Chakorii said: Ni kweli kabisa sio “mtefu “ Acha kucheza kamari dogo Click to expand... Tobaaaa Mwee nimechapia Ila sio mfupi, Ngoja aje HS anisaidie hapa kutetea hili
reymage JF-Expert Member Joined Aug 5, 2021 Posts 12,426 Reaction score 29,306 Feb 13, 2022 #146,932 cocastic said: mlongo kumbe umeona? Sasa cheki nilivyo kimbau mbau lol, mnipe shape bas na nyie uwiiiih. Click to expand... Hahaa!mi na we hakuna tofauti Niko km skeleton tu shoo!!!mwenzio
cocastic said: mlongo kumbe umeona? Sasa cheki nilivyo kimbau mbau lol, mnipe shape bas na nyie uwiiiih. Click to expand... Hahaa!mi na we hakuna tofauti Niko km skeleton tu shoo!!!mwenzio
reymage JF-Expert Member Joined Aug 5, 2021 Posts 12,426 Reaction score 29,306 Feb 13, 2022 #146,933 cocastic said: mlongo kumbe umeona? Sasa cheki nilivyo kimbau mbau lol, mnipe shape bas na nyie uwiiiih. Click to expand... Nimekuona hatimae nimeotea na miyew
cocastic said: mlongo kumbe umeona? Sasa cheki nilivyo kimbau mbau lol, mnipe shape bas na nyie uwiiiih. Click to expand... Nimekuona hatimae nimeotea na miyew
Brian Spilner JF-Expert Member Joined Aug 7, 2016 Posts 2,034 Reaction score 6,038 Feb 13, 2022 #146,934 reymage said: Nimekuona hatimae nimeotea na miyew Click to expand... Nimeshangaa mbona nna usingizi lakini silalii.. Kumbe ni kunikutanisha na wewe hapa. Haya nimemis self yako, hebu tupia moko bas
reymage said: Nimekuona hatimae nimeotea na miyew Click to expand... Nimeshangaa mbona nna usingizi lakini silalii.. Kumbe ni kunikutanisha na wewe hapa. Haya nimemis self yako, hebu tupia moko bas
Mzigua90 JF-Expert Member Joined Sep 23, 2014 Posts 38,391 Reaction score 88,769 Feb 13, 2022 #146,935 Tunalewa leo
Mzigua90 JF-Expert Member Joined Sep 23, 2014 Posts 38,391 Reaction score 88,769 Feb 13, 2022 #146,936 Usiku huu
Satoh Hirosh JF-Expert Member Joined Mar 30, 2021 Posts 7,151 Reaction score 28,874 Feb 13, 2022 #146,937 9.8ms squared said: kama mda wa kureport kitandaniView attachment 2117773 Click to expand... Mkuu ili ufike kitandani lazima upande lift siyo?? Safi sn..nakumbuka enzi natafuta chumba nilimwambia dalali nitafutie cha uani hakuna masharti mengi ya mara oooh kurudi mwisho saa mbili ili tufunge geti😅,now naenjoy Uhuru
9.8ms squared said: kama mda wa kureport kitandaniView attachment 2117773 Click to expand... Mkuu ili ufike kitandani lazima upande lift siyo?? Safi sn..nakumbuka enzi natafuta chumba nilimwambia dalali nitafutie cha uani hakuna masharti mengi ya mara oooh kurudi mwisho saa mbili ili tufunge geti😅,now naenjoy Uhuru
Satoh Hirosh JF-Expert Member Joined Mar 30, 2021 Posts 7,151 Reaction score 28,874 Feb 13, 2022 #146,938 Saint Anne said: Hatimaye nimekuona kidogo Kumbe wala siyo mfupi sana kama ambavyo nilidhania. Click to expand... Chakorii mbona umefuta sasa,nami nione urefu wako?
Saint Anne said: Hatimaye nimekuona kidogo Kumbe wala siyo mfupi sana kama ambavyo nilidhania. Click to expand... Chakorii mbona umefuta sasa,nami nione urefu wako?
Satoh Hirosh JF-Expert Member Joined Mar 30, 2021 Posts 7,151 Reaction score 28,874 Feb 13, 2022 #146,939 Chakorii said: Ashukuriwe Mungu kwakweli..maana safari ilikuwa ni ndefu mnooo ila abiria jirani niliyekaa nae aliifanya ikawa fupi Click to expand... Aliifanya kuwa fupi? Alipitia Uzi wa rickboy nn akachukua madini kisha aka-apply kwako?
Chakorii said: Ashukuriwe Mungu kwakweli..maana safari ilikuwa ni ndefu mnooo ila abiria jirani niliyekaa nae aliifanya ikawa fupi Click to expand... Aliifanya kuwa fupi? Alipitia Uzi wa rickboy nn akachukua madini kisha aka-apply kwako?
Satoh Hirosh JF-Expert Member Joined Mar 30, 2021 Posts 7,151 Reaction score 28,874 Feb 13, 2022 #146,940 Chakorii said: Mwanza parefu Sana. Nimekaa na mkaka mzuri mzuri Sijui kachanganyika na mnyarwanda yule jamani…yani nilikuwa namlalia makusudi. Mkaka yule kajua kunifupishia safari Click to expand... Kwisha habari yako..Makofi Kwa mkaka wa kinyarwanda tafadhali👏 DJ sindikiza na wimbo wa anameremeta tafadhali
Chakorii said: Mwanza parefu Sana. Nimekaa na mkaka mzuri mzuri Sijui kachanganyika na mnyarwanda yule jamani…yani nilikuwa namlalia makusudi. Mkaka yule kajua kunifupishia safari Click to expand... Kwisha habari yako..Makofi Kwa mkaka wa kinyarwanda tafadhali👏 DJ sindikiza na wimbo wa anameremeta tafadhali