Huyu mchezaji jaman kila nikimtazama kuna kitu moyoni kinanifhukuta, hata sijui kwann yaan
Simba imesajiri wachezaji ila huyu ameniingia mno, yaan nmenunua jersey km 4 afu nimeweka chatta ya jina lake, yaan nikiona uwanjan kashka mpira narukwa na akili mno,
Nishawahi kumfata ktk page ya Fb, nilitext kwa kiingereza, sasa yeye akajibu sijui kifaransa sijui kireno,sijui kiitaliano hata sikuelewa, kila nikimchatisha anajibu kwa lugha hata sielew, nliumia mno yaan, siamini km hajui kimalkia ila nahisi alifanya makusudi tyuuh.
Hebu mniambie hiki n nn eti
mahondaw na
Chakorii mnisaidie kwani.
View attachment 2117371