Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Leo [USER=135506 said:
Boss Lady[/USER] kasema tusicheze mbali hapa kila baada ya dk. mbili nafungua uzi. Mateso tupu yaani

Hahahaha nimecheka sn hapo kwenye mateso tupu..mateso yasiyoumiza mkuu,km mfalme wa Eswatini alivyoamuru wanaume wote waoe wanawake watano,hutaki hela kifungo cha maisha..Sheria yenye utamu
 
Back
Top Bottom