Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

ni wee apo bhana Mr dimplez, basi tulia, leo usiku najilipua yaan live vile. Ko kaa tayari iwa saplaizzzzz
Asee umenikariri Sana..kumbe Nina dimples?

Naisubiri selfie yako,tena Leo nitakuwa night shift nitakuwa makini sn kuchungulia selfika
 
Huyu mchezaji jaman kila nikimtazama kuna kitu moyoni kinanifhukuta, hata sijui kwann yaan
Simba imesajiri wachezaji ila huyu ameniingia mno, yaan nmenunua jersey km 4 afu nimeweka chatta ya jina lake, yaan nikiona uwanjan kashka mpira narukwa na akili mno,

Nishawahi kumfata ktk page ya Fb, nilitext kwa kiingereza, sasa yeye akajibu sijui kifaransa sijui kireno,sijui kiitaliano hata sikuelewa, kila nikimchatisha anajibu kwa lugha hata sielew, nliumia mno yaan, siamini km hajui kimalkia ila nahisi alifanya makusudi tyuuh.

Hebu mniambie hiki n nn eti mahondaw na Chakorii mnisaidie kwani. View attachment 2117371
Hahahaaa.... Nazielewa swaga zako shos
 
Huyu mchezaji jaman kila nikimtazama kuna kitu moyoni kinanifhukuta, hata sijui kwann yaan
Simba imesajiri wachezaji ila huyu ameniingia mno, yaan nmenunua jersey km 4 afu nimeweka chatta ya jina lake, yaan nikiona uwanjan kashka mpira narukwa na akili mno,

Nishawahi kumfata ktk page ya Fb, nilitext kwa kiingereza, sasa yeye akajibu sijui kifaransa sijui kireno,sijui kiitaliano hata sikuelewa, kila nikimchatisha anajibu kwa lugha hata sielew, nliumia mno yaan, siamini km hajui kimalkia ila nahisi alifanya makusudi tyuuh.

Hebu mniambie hiki n nn eti mahondaw na Chakorii mnisaidie kwani. View attachment 2117371
Anaitwa sadio kanoute mchezaji wa Simba kutoka taifa la Mali,amezaliwa 21 October 1996.Ana miaka 25.Anaongea kifaransa ambacho ni lugha ya taifa la Mali

Huyu jamaa sofa yake kuu ni upole.Hanaga maneno mengi huyu bwana
 
Back
Top Bottom