Selfika na JF: Snap it. Show it

Mungu azidi kuwatia nguvu dear usiwaze tupo pamoja! Shukrani
🙏
 
Mwenyezi Mungu azidi kuwa pamoja nanyi,, i am humbled,, thank you
 
Tunamuombea Rehema kwa Mungu ajaliwe nuru ya milele apumzike kwa amini.
Inauma sana lakini ukweli ni kwamba duniani hapa tunapita na marejeo ni kwa Mola, kwake hakuna kosa .

Poleni mno ndugu yangu.
 
Asante Sana mungu aendelee kuwapa faraja nyote wanafamilia
 
cocastic nilikukumbuka jioni hii baada ya kumuona kisura wa Mbeya

Mwambie nahitaji kile kiuno chake aniazime kwa muda
kipendhiiiih nimecheka had kupaliwa ujue hapa.
Sasa umeshindwa nn kumuomba huko ulipomuona nawee?

Alinichamba tiktok kule, kisa nli comment, sasa hakupenda wee kwann asinijie inbox wacha anitukane mie, matusi mazito mazito
, sema na mie siku hiyo mashetan yangu yalikua buzzy, nkaacha tyuuh ipite. Maana ningemuwashia moto had angekumbka sku yake ya kwanza kutatuliwa marinda, msieeew zake.

Yule mnyakyusa hapana kwa kweli.
lol.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…