Selfika na JF: Snap it. Show it

kama ulikuwepo umelemga mulemule yaani 100%correct hujaacha kitu!!!
Sasa Mimi sio wa hvyoo!I do prefer love over everything!baba angu aliniambiaga ndoa ni mapenzi na huruma vikikosekana hvyo hamna ndoa hapo kuna mateso ya milele na nimekataa kunyanyasika Mimi.
Kuhusu kujua asili yao ni lazima wajue asili yao na every likizo hua nawauliza mnaenda wapi,Bariadi,Mwanza,tabora au Shinyanga kwa uncles zao na wanawapenda sana tuuu!hawana shida na watoto siwezi wadanganyia na nahitaji wakajifunze lugha yao ya asili.
Ujinga wa kuwakatalia watoto sins na siwezi Fanya hvyo maana watoto ndo ntawaumiza.
 
Sawa mkuu. Mi sina ishu. Mi nakuja kuona wanangu tu. Nyie hata muedelee na mambo yenu sawa tu
Wanao wapo njoo uwaone uwafundishe Kisukuma napenda sana tamaduni za kisukuma wako vizuri sanaa haswa kwa mabinti na mpk Leo wanapractise that's why napendaga waende kwao wakajifunze some norms za kwao
 
Jamani reymage ibariki jumapili yangu jamani jana nililala jamani!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…