We ulisikia wapiSina hata cha maana dia....Kujitoa muhanga ni kuwa tayari kufa / kudhurika may be kuokoa wengine..so utaokolewa wewe kwanza...!🤩😘
Nimechoka kuandika sentensi ndefu ya kuelezea kwanini nimeandika kichwa kimejaa.kichwa kimejaa nn umeulizwa?
kwa ufupi basiNimechoka kuandika sentensi ndefu ya kuelezea kwanini nimeandika kichwa kimejaa.
Haya futeni huo mwandiko
Hauna ka picha ka kichwa kilichojaa rafiki??😳😜 Labda hapo nitaelewaNimechoka kuandika sentensi ndefu ya kuelezea kwanini nimeandika kichwa kimejaa.
Haya futeni huo mwandiko
😳😳😳😳mbona mnaenda mbali nyie watu aise..Ndio bana umesema kichwa chake kimejaaa🤭🤭🤭 kumbe unamjua vema mtu chake safi sana...
Eeh Cha Mahondaw tena??? Trobaa!😳 Mi hapo najiokoa mwenyewe si nishakwambia najitoa muhanga kwa mbinu za kimafia!! Naanza kujitoa mimi automatic mtu chake atakurukia wewe mtadondoka na kuvuringita weee utanikuta upo juu ya kifua chake Anakuachaje kirahisi wewe kipenzi chake kwa mfano!😳😳😳😳mbona mnaenda mbali nyie watu aise..
Simjui huyo masta aise.
Nilisema kichwa kimejaa(chako mahondaw Kwa furaha) kwakuwa aliposema mbinu za kutuokoa zote anazo..hivyo tu sikuwa na maana nyingine
Hebu niwache mie🤪🤪Hauna ka picha ka kichwa kilichojaa rafiki??😳😜 Labda hapo nitaelewa
🥂🥂🥂🥂Eeh Cha Mahondaw tena??? Trobaa!😳 Mi hapo najiokoa mwenyewe si nishakwambia najitoa muhanga kwa mbinu za kimafia!!
mmmh cdhani km ananifahamu vemaNdio bana umesema kichwa chake kimejaaa🤭🤭🤭 kumbe unamjua vema mtu chake safi sana...
Kwani kufahamiana ni kesi/ dhambi rafiki??mmmh cdhani km ananifahamu vema
hahahahaha 'mbinu za kimafia'Eeh Cha Mahondaw tena??? Trobaa!😳 Mi hapo najiokoa mwenyewe si nishakwambia najitoa muhanga kwa mbinu za kimafia!! Anakuachaje kirahisi wewe kipenzi chake kwa mfano!
sio kesi ,sio dhambi rafikiKwani kufahamiana ni kesi/ dhambi rafiki??
Mnanikosesha wachumba mjue😀😀Ndio vizuri ukizingua ujibebe haswaa!
Na hata sifikirii kutaka kukufahamu 🤣🤣mmmh cdhani km ananifahamu vema
😊😊😊😊😊Na hata sifikirii kutaka kukufahamu 🤣🤣