Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,633
- 38,733
Subiri kaka apite hapa aone hii...utaachika leo leo
Situmiagi man ..ila uku tunaitaga geji ..au mavi ya ng'ombe!Nigongee ugoro mkuu..
Hahahaha mafisi hawachagui chakulaKweli JF imejaa mafisi yenye njaa... Hivi ni vidole tu lakini nyoka wamechomoka kila upande... Vidole tuu![]()



Basi chini utakuwa mkubwa afu juu mdogo ..kama yule mdudu anaitwa dondoraHapana. Sio model hata kidogo



Subiri kaka apite hapa aone hii...utaachika leo leo
🏿♀️
🏿♀️
🏿♀️Wewe unajilamba leoo
Gari umeacha wapi mkuuHuku kwetu mvua, nimelowana!View attachment 1235132
Mama mama mama, mh mh mh! MaaaamaaaAkina Dada mkisikia joto tupieni ka hizi.View attachment 1235134




Mmmmmmh mwanaume anatisha huyuTuko Pamoja wadau . One Love from Mjukuu wa Faiza FoxyView attachment 1233296
sura ya kibaisaMy feet is my car (Tz 11) they can take me wherever I want to go! Mjini hapa nikimuona mtu ana gari namheshimu hata ikiwa iST/VitzGari umeacha wapi mkuu



Napenda supu ya utumbo hatariWewe unajilamba leoo

Hizo iST/Vitz ni bajaj? Wa-Tz ujeuri,ushamba,kiburi vimetuzidi. Namuomba mheshimiwa aongeze tena kukaza nut mpaka hizi gari zitolewe kwenye mifano ya kipuuuzi ya chini,mpaka ziitwe v8 ndio alegezeMy feet is my car (Tz 11) they can take me wherever I want to go! Mjini hapa nikimuona mtu ana gari namheshimu hata ikiwa iST/Vitz![]()
Kumbe tuko sawa kabisaaMy feet is my car (Tz 11) they can take me wherever I want to go! Mjini hapa nikimuona mtu ana gari namheshimu hata ikiwa iST/Vitz![]()
Naona umeandika kwa hisia sana, pole sana kama imekugusa!Hizo iST/Vitz ni bajaj? Wa-Tz ujeuri,ushamba,kiburi vimetuzidi. Namuomba mheshimiwa aongeze tena kukaza nut mpaka hizi gari zitolewe kwenye mifano ya kipuuuzi ya chini,mpaka ziitwe v8 ndio alegeze
Nakutumia dearNapenda supu ya utumbo hatari![]()