Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,016
- 177,326
Hahahaaa.... Mi mbona huko nishatoka sasa!!! Nimeshastaafu mimiTena wewe ndio saana maana umeniita kijana mara mbili.
Unaniitaje kijana ivo yan wakat me mhenga tuu..
Hahahaaa.... Mi mbona huko nishatoka sasa!!! Nimeshastaafu mimiTena wewe ndio saana maana umeniita kijana mara mbili.
Unaniitaje kijana ivo yan wakat me mhenga tuu..
Wee unaenda Wapi sasa! Mimi nakuunganishia unazingua tena!!! Tulia hapohapo kijana nishamset anakuja





wacha wee!!!UmependezaMkuu mimi moyo umeridhika ila kiu sasaa...
Ila wanasema mkono mtupu haulambwi, ngoja nikuchombeze na hiiView attachment 2098277
Maini hayazeeki mkuu...Hahahaaa.... Mi mbona huko nishatoka sasa!!! Nimeshastaafu mimi
moto moto na sie kama maji na oxygenInaelekea anapenda vitu vizito🤔
Dada usiwe muoga, hujawahi kuona waziri wa maji ametembelea jimbo la spika mnazareth?






khaaaaah sasa si kutembelea miradi? Na sio jimbo lake ki umiliki?Maini ilioharibika sio tamu na haifai kuliwa kabisaMaini hayazeeki mkuu...
We staafu tuu ila maini tuachiee..
Sasa hapo ndo kuna kujiongeza mapema, we unadhani mnazareth atarudi jimboni msimu ujao, shauri yako, jimbo lazma liwe wazi lilee...khaaaaah sasa si kutembelea miradi? Na sio jimbo lake ki umiliki?
Huyo sio size yangu hata,Nakukabidhi Kijana huyo!



Maini haiharibiki mpaka ufe. Na wewe bado hujafa.Maini ilioharibika sio tamu na haifai kuliwa kabisa
Leo
Ile ya kunichambua kupitia mwandikomada gani tena 😊😊
Wee shos mbona anakufaa kabisa! Usiniangushe please!Huyo sio size yangu hata,
Hata mwenyew unajua, unanichoraaah uwiiiiiih
Sasa hapo ndo kuna kujiongeza mapema, we unadhani mnazareth atarudi jimboni msimu ujao, shauri yako, jimbo lazma liwe wazi lilee...






lile jimbo litakua la yule aliyepigwa kiboko na mshenga wa yesu. WoiiiiiiiihMy super tall handsome🤭
😁😁moto moto na sie kama maji na oxygen