Heaven Sent umekumbukwaaa
Hata giza nalo litande
Mimi nitakuabudu wewe
Chanzo cha uhai wangu nakuabudu
Nimejifunza kudhiliwa na kufanikiwa
Katika yote wewe bado Mungu
Ninajua kushiba na kuona njaa
Katika yote wewe bado Mungu
Ninajua udhaifu na kuwa na afya
Katika yote wewe Bado Mungu