sawa nitamuambia ume miss sana ππKwa kuwapa pasi wenzio tu..upo vizuri..ulianza kumpasia Pendael24 .. halafu simuoni huyu jamaa amepotelea wapi?? Ukimuona mwambie namsalimia sana
Damn! Iβve missed that. Iβm on my way.
Sasa sijui ni Ukimya wao ndo unawafanya waonekane na dharauβ¦π€·ββοΈHahaa hapo kwenye dharau hapooo nasikiaga watu wapole/wakimya Wengi wanakuwaga na dharau sana za chinichini
Abee kipenzikipenzi
Ulikumbukwa piaaaaHeaven Sent umekumbukwaaa [emoji4][emoji4]
Hata giza nalo litande
Mimi nitakuabudu wewe
Chanzo cha uhai wangu nakuabudu
Nimejifunza kudhiliwa na kufanikiwa
Katika yote wewe bado Mungu
Ninajua kushiba na kuona njaa
Katika yote wewe bado Mungu
Ninajua udhaifu na kuwa na afya
Katika yote wewe Bado Mungu
hapa wapi tuje kusali
safi sana for huduma
Ntakunong'oneza mtu chake. Vipi kwanza ile pass yako kwa mahondaw imezaa goal au?[emoji23][emoji23][emoji23]hapa wapi tuje kusali
ππππNimependa zaidi hiyo "mammmae" ukitukania hivyo ndio mzuka unazidi kuwa mwingi hadi unamwagika
Sanaaa ..nikiamua kutumia muda muda kumchunguza mtu..lazima nimpate japo asilimia 50Uko deep sana kwenye psychology
ahsante mkuuExactly! Big up mtu chake
Comment zako hazikaagi mbali na hisia za mapenzi mbaliziππΏππΏππΏNimependa zaidi hiyo "mammmae" ukitukania hivyo ndio mzuka unazidi kuwa mwingi hadi unamwagika
mahondaw njoo upande juu uchume pela [emoji3][emoji3]View attachment 2097575
hahahaha.kwahy umenichunguza ktk maandishi?Sanaaa ..nikiamua kutumia muda muda kumchunguza mtu..lazima nimpate japo asilimia 50