Matatizo mengi sana kwenye jamii yangeepukika kama tungeilewa vema hii kanuni ya impermanence, kwamba kila kitu kinapita na hakuna kitakachodumu milele! Tunapokuwa na mapenzi yaliyopitiliza kwa baadhi ya vitu tunajijengea ugonjwa mbaya sana utakaokuja kutuumiza na kuleta madhara makubwa mara...