Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,016
- 177,324
Tunafurahi kukuona tena selfika Jamani usiwe unapotea kiivo!Niliwamiss mno jamani, nikamwambia 9.8ms squared aje awasalimu. Alichokijibu anakijua 😅😅
Tunafurahi kukuona tena selfika Jamani usiwe unapotea kiivo!Niliwamiss mno jamani, nikamwambia 9.8ms squared aje awasalimu. Alichokijibu anakijua 😅😅
Alipotea hataki kabisa kuja hata tumuwish birthdayTunafurahi kukuona tena selfika Jamani usiwe unapotea kiivo!
hahahahahaha siku yangu bado labda
Proud of you 👏 😚😉😊😇😀😀😀 jana tume enjoy sana.. usiwaambie watu basi 😎😎😎 yaani ilikuwa Heaven on earth
🤣🤣 sasa mtoto natoa wapi smartphone.Yaani unapotea hadi siku unazaliwa we umepotea tu![]()
Nazipokea hizo belated wishes 🤗Alipotea hataki kabisa kuja hata tumuwish birthday
Ukija niiteTunafurahi kukuona tena selfika Jamani usiwe unapotea kiivo!
Siku nikija Dar nitakuja kumwona pacht wangu.okHuwa namwonyesha japo hiyo hapo niliweka tu na kutaka kutoa mara moja,,bahati mbaya usiku jf imezingua muda huo..nikawa nashindwa kuingia.
Huwa namfananisha na wewe..miili mnaendana.
Dadake Saint Annekumsalimia nani? Mambo ya kupigwa kibuti hapana
nakutaka ww .ila naona unakwepa .hahahahahaDadake Saint Anne
Mnafanana rangi,miguu,miili.Siku nikija Dar nitakuja kumwona pacht wangu.ok
Oh jamani usilie sasasasa mtoto natoa wapi smartphone.
On a serious note: Jana wakati nataka kulog in kuna mdada nilimkumbuka sana esp. kwenye ile siku ya jana, then kuna kitu nikakikumbuka haki niliishiwa nguvu za kuendelea na login’ I knw you’ve some hints….
Ni dada E.. msalimie thoe ataona ila naomba asijibu kitu hapa. I really miss the old Her![]()


,Mungu na akarejeshe majira hayo.Naona anajaribu kukuchinjia baharininakutaka ww .ila naona unakwepa .hahahahaha
Mungu akutunze sana na akafungue baraka kwako.Nazipokea hizo belated wishes![]()