Nop usichokijua ni kwamba mimi nakuonaga uko decent sana na vile unavyopost habari za kupeleka moto sijui kupiga na kusepa ndiyo huwa naona hufananii kabisa
Nakumbuka hujawahi kabisa kuniambia huwa sisahau kumbukumbu muhimu kama hizi,,,na ninavyopenda kupost hivi.. ila ya kwangu nilikwambia na unaikumbuka kwa sababu ipo sawa na ya dadayako.
Nop usichokijua ni kwamba mimi nakuonaga uko decent sana na vile unavyopost habari za kupeleka moto sijui kupiga na kusepa ndiyo huwa naona hufananii kabisa
Mabinti wamejaa kibao mdogo wangu ukiwa nao itapendeza zaidi kuanzia kwenye age difference...hata tofauti za miili kati yako na wao zinamatch.. sasa kijana mdogo ukutane na kijeba ngozi ishajikunja maziwa yashalala tumbo lishashuka afu full michirizi kutokana na uzazi aaawwwwuu haikuji kabisa pia you won't enjoy! Kijana una Nguvu zako unatakiwa tubinti sio mizee mizima!!