Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Ah wapiMama kijacho sio![]()
Hilo jina sikutaka kulitaja, maana kuna watu humu kwenye uzi tuko familiar nalo! Ila kwa vile umelitaja naliboldUle mlima pale Mvuha unaitwa Chamanyani.
Ule mlima una kona kali 20.
Mlima unatisha sana aisee



Hapa ushaniteka! Siachi kuwa na subira!!






Mbona nanunua sanaUje kuniungisha sasa![]()

Hapa ushaniteka! Siachi kuwa na subira!!![]()




wallah,ushavizoea vitisho vya babu
Huu upaja uupate kipindi cha baridi then uupake






We mzee hebu tulia, tuko kwenye mahaba ya JanuaryMjukuu utakwenda kuumizwa. Huyo Ostaadh siyo mtu mzuri!
View attachment 2093676















Sasa mzee huamini kama mjukuu wako tuko pamoja? Kalaghabaho!! Kuna sehemu nimempeleka na jioni nakwenda kumfata!















Hee🙉🙆Mbona nanunua sana
Tatizo lako miwani hiyo..![]()
Wewe huyo😂Cheti nikikute
Kwa hilo jina jipya
Ulilonibatiza
Mwambie babu yako nilikokupeleka!Babu kanikataza,sitoki tena
Ebwana wee! Guu guu, kama la ndovu ukinipiga teke sinyanyuki tena!Miguu ni imevimba hii msukuma
View attachment 2093790





