Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,348
- 176,143
Hujakwenda kujiandikisha wewe?Nambie mama kujitunza; ndo nimetoka shamba
Hujakwenda kujiandikisha wewe?Nambie mama kujitunza; ndo nimetoka shamba
Labda wewe utakuwa umepatia maana kuna mtu alisema ni kati ya maji konyagi au k vant akaambiwa amekosea basi nahisi itakuwa smirnoff tena iceSmirnoff
Karibu unywe maziwa.Oohh siyo mbaya hata hapo haujafeli sana boss
Avatar yako inanikumbusha mbali sana, hivi wewe ni member mpya au wa zamani kidogo!



Ni mpya mkuu!! Inakukumbusha nini kwani??Avatar yako inanikumbusha mbali sana, hivi wewe ni member mpya au wa zamani kidogo!![]()
Niwekee hata mguu banaaa 😬Unataka hii sura ya baba yangu niiweke humu?![]()
Sawa bana
Nimelike piaNime "like"![]()
Hata maziwa mgando?asante ila maziwa huwa situmii kabisa
Uhuhu! Watu na mishepu yao 🔥🔥🔥
Shukraniii JRNimeifuta ila unastahili hizi sifa
Aah nasemea mwenye picha yake huyo Dada au unadhani sijui ni nani 😂Nikumbushe tafadhali