Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
MweeeeeeeKameshakomaa mbona. Ngoja niku-mention somewhere ukaone
🤣
MweeeeeeeKameshakomaa mbona. Ngoja niku-mention somewhere ukaone
Uni cc shem dadaNikitulia ntaandika kagazeti![]()
Hata mie nampenda dada yangu na nina wapenda dada zangu.. sema protocal tu 😊😊😊.. ila bila hivyo ningeoa dada yangu tu..Mtu anajivunia kaka yake kuliko mume wako. Kwenye uzi wa mawifi kuna mtu alisena "madada wengi wanatamani kupata waume wanaofanana na kaka zao"![]()
🙈🙈🙈Ngoja nikaone huko kwanza ndio nije nipokee hii shkamo yako
hapana mie natumia Chrome.. App sijawai hata installKama unatumia app hutaona
Hilo la kulewa nalo linahitaji mjadala
Chochote utakachokiona kipuuze aisee,,nililewa![]()
Okeyhapana mie natumia Chrome.. App sijawai hata install
Na mimi
NasubiriaWewe ulishapita kule, ila ngoja nikuite
Unajua nililewa pilipili🤦♀️,nilikula mno pilipili mbuziHilo la kulewa nalo linahitaji mjadala
sijaona bwana.. au ume mention vibaya![]()
Na salah na Mane watakuwa washarudiKuna watopolo tutakutana nao February final ya Carabao, tutawatafuna kweri kweri
Watarudi na Covid wakae karantini mweziNa salah na Mane watakuwa washarudi
Unamfahamu Tukel kweli? aka BarmanTunaenda kulichakaza hilo chelsea lenu.
Sisi Simba SC?Matokeo yenu ninayo😂😂😂
Hivi unamfahamu VVD wewe?Watarudi na Covid wakae karantini mwezi
Unamfahamu Tukel kweli? aka Barman
Sisi Simba SC?
Hivi unamfahamu VVD wewe?
Salah je???
Oh sijagusa Fabinho
Njoeni,njoeniiii
Na kama nyie wanaume kweli basi tutoeni pale juu EPL
......
Kweli nikukaribishe dinner close to midnight?? Naaah! Can't treat my daddy like that.😏Mchoyo wewe eh?