Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Hs
Nimekumbuka tu lile gogoro..
Hamna zaidi

Ila watu wa vijijini bwana.
Tunasindikiza mtu mmoja ,tunampandisha hadi ndani ya gari...tunampungia mkono...
Bado tunasubiri kuona gari linavyoondoka ili tumpungie tena.
HayaMimi nipo naupiga mwingi.
Eeh jirani na Heaven SentHivi wewe pia
Ni wa Busokelo![]()
Nakazia urudiwee.. sikuwepo ☺️☺️Mpasuo urudiwe mahondaw
Hofyoooo![]()

Muda imewekwaNakazia urudiwee.. sikuwepo![]()

Dogo kwani Vasco Dagama weyee?!mixture of feelings.View attachment 2085683View attachment 2085684

!!haya safiri salama!Hapo sawa nilijua weye tena wasafiri!!!Yanaleta raha mno.
Ameondoka bimkubwa..tumempandisha Imani.
Wanyaki ndo pigo zenu hizoo!!!hapo mnatamani muikimbile gari kwa bodaboda pia!Ila watu wa vijijini bwana.
Tunasindikiza mtu mmoja ,tunampandisha hadi ndani ya gari...tunampungia mkono...
Bado tunasubiri kuona gari linavyoondoka ili tumpungie tena.

Ooh asafiri salamaYanaleta raha mno.
Ameondoka bimkubwa..tumempandisha Imani.


Mimi nimeonaHaya na Leo nani hajaona?!!View attachment 2085906
Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Wanyakyusa tunasemwaga sana kwa kupenda kuagana daahIla watu wa vijijini bwana.
Tunasindikiza mtu mmoja ,tunampandisha hadi ndani ya gari...tunampungia mkono...
Bado tunasubiri kuona gari linavyoondoka ili tumpungie tena.


Za huko ndugu??