Sio ushamba mpenzi. Kila mtu ana kitu anakipenda. Mimi sasa hivi hunibebi kunipeleka club ila nilikuaga kama nimechanjiwa nilivyokua chuo. Sasa hivi kitu naweza kukifanya ni kunywa tu. Hata nikalie crate ya bia kama kuna kamziki na story nakaa.
Sema sasa nikisema nijifungie ndani naweza kaa hata siku 3 sifungui mlango.
Hahahahhahahahhahahhahahahahhahahaha.
Ndio nini kwenda kuaibisha huko?
Lazima ulikuwa unakunywa soda na wenzako pombe. Mtu akinywa pombe haoni kama muda unaenda yaani. Utasema bora kamaliza unashangaa tuu zingine tatu zimeshuka mezani kwa mkupuo.
Unaweza ukalia yaani.
Sio ushamba mpenzi. Kila mtu ana kitu anakipenda. Mimi sasa hivi hunibebi kunipeleka club ila nilikuaga kama nimechanjiwa nilivyokua chuo. Sasa hivi kitu naweza kukifanya ni kunywa tu. Hata nikalie crate ya bia kama kuna kamziki na story nakaa.
Sema sasa nikisema nijifungie ndani naweza kaa hata siku 3 sifungui mlango.
Kwenda club nadhani inaendana na umri. Mara ya kwanza na mwisho mimi kucheza disco tena disco vumbi ni graduation ya form 4 waliweka mziki na mimi nikajirusha.
Kuna mama huwa ananiambia akitaka kuja kwangu walaa hajihangaishi kupiga simu maana anajua tu atanikuta.
Ndio basi tena mdogo wangu tubakie tu kuwa watazamaji
Kwenda club nadhani inaendana na umri. Mara ya kwanza na mwisho mimi kucheza disco tena disco vumbi ni graduation ya form 4 waliweka mziki na mimi nikajirusha.