Selfika na JF: Snap it. Show it

Niliwahi kwenda club mara moja tena uzeeni, na niliishia kusinzia tu
 
Yaanii acha kabisaa...
Unajua mnaondoka zinashuka nnenne...

Mimi na mirinda nyeusi, nilikomaaaa mimii
 
Hizo siku tatu unakuwa una hangover?

Kwenda club nadhani inaendana na umri. Mara ya kwanza na mwisho mimi kucheza disco tena disco vumbi ni graduation ya form 4 waliweka mziki na mimi nikajirusha.


Kreti la bia? Unamaliza? Shikamoooooooo
 

duuh hadi kwenda ni tabu unaagiza boda boda
.
Kwa kweli tubakie tuu hivi hivi maana ni vipaji hivo nadhani.
 

Mimi ndo hata sijawahi jamani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…