Selfika na JF: Snap it. Show it


Bora wewe huwa unakwenda, mie naagiza bodaboda


Kuna mama huwa ananiambia akitaka kuja kwangu walaa hajihangaishi kupiga simu maana anajua tu atanikuta.
Ndio basi tena mdogo wangu tubakie tu kuwa watazamaji
 

Kama hujazoea huwezi tuu dear... Nakumbuka kuna siku mpaka nikawa nawasumbua tuondokee Shunie alinunaaa
Hahahahhahahahhahahhahahahahhahahaha.
Ndio nini kwenda kuaibisha huko?

Lazima ulikuwa unakunywa soda na wenzako pombe. Mtu akinywa pombe haoni kama muda unaenda yaani. Utasema bora kamaliza unashangaa tuu zingine tatu zimeshuka mezani kwa mkupuo.
Unaweza ukalia yaani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…