Nakumbuka kitambo sina kitu, mtoto wa watu anaingia shoping ananipendezesha yaani dah! Nipo site huko kwa wamakonde mtoto anaacha kazi zake zote anakuja kunitia moyo asee.. kuna wadada ambao ni wamama.. Nimepoa rafiki na nimezoea japo kuna siku anajaaa akili hadi napata wenge 🥺🥺