Hahaha...Hapana bana! Mi nimekumbuka tu maparachichi na ndizi za kamachumu zile Nene tamu afu lainiiiiii na ebinyobwa bisagile !! Nilikua najilamba vidole aseeh sio kwa utamu ule!
Hahaha...Hapana bana! Mi nimekumbuka tu maparachichi na ndizi za kamachumu zile Nene tamu afu lainiiiiii na ebinyobwa bisagile !! Nilikua najilamba vidole aseeh sio kwa utamu ule!
Au ndo wanasemaga effect of mother tongue! Hivi hata waliozaliwa mijini wana hio kitu yani watoto wa wakule waliozaliwa mikoani vipi nao wanachanganya hizo herufi??