Mmmh bado una moyo mzuri aisee. Wenzako mwanamke ukiitwa tu ka dinner, wakati anakunywa soda, anasikia kidume anauliza "vyumba vipo muhudumu? (Natania mweeh)
na aliekwambia nataka wadogo nani?! ujue nimefanya vetting ya kiwango cha special forces wa urusi af mambo ya umri hayakuhusu kwani we unajua umri wangu!? acha kujifanya mfanyakazi wa RITA basi nifungulie tusalimiane yaishe hujui hamu yangu ikiisha utakuwa umenisaidia..