Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwaiyo walokole mnatuona kama maboya flani hiviii
Kwa wale wanaojilewa wako vizuri wengi wao.
Ila wake wanao jihesabia bora kuliko wengine wote ambao hawako kwenye makanisa yao hai ndio mtihani.

Kwa mfano mtu anasalia Siloam anamuona yoyote asiye kua Siloam ni mwenye kupotea, kadhalika na wanajiita walokole huwaona wote wasio fungamana nao wamepotea.

Hapo ndio kwenye shida na walokole na wenye kujiita wameokoka.
 
Kuna mmoja aliniuliza nasali wapi nikamwambia Lutheran dah akaanza kusema kule sio na bla bla kibao anavutia nihamie kanisani kwao ni kama kunyanganyana wateja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…