Selfika na JF: Snap it. Show it

Akhuuu. Mimi nilisemea tu mazingira ya hotelini sio salama sana kiroho, si unajua yanayotendeka humo ni mengi. Mnaweza mkaingia chumba "kichafu", automatically kikapunguza uwepo kwa asilimia fulani. Kuomba unaomba mahali popote tu;lakini kuna zile sehemu zetu huwa tunazitenga maalumu kwa ajili ya maombi; zinakuwa sacred.

Kwani nyie kaka na dada mliwaza nini?
eeh yani.. naona kateleza kuwaza mama mtumishi
 
Inaweza ikawa kweli au sio kweli pia. Leo kuna watu wengi tu ambao wameinuliwa na marafiki zao, wakati ndugu zao walikuwa na uwezo wa kuwasaidia and yet waliwatelekeza. Mungu akikujaalia ukampata rafiki mwema; unakuwa umejipatia kitu chema sana.
Tengeneza connection na watu usitengeneze urafiki, ipo siku marafiki uliowatengeneza watakugeuza chakula cha kula maana "kikulacho kinguoni mwako!", Siyo rahisi rafiki akakubali upate zaidi yake!

Haya maneno ya kweli?
 
Mimi nilishakuelewa sana,basi tu tunajitoa ufahamu,tunakuchezea🤣😂.


Ukweli upo wazi,huko mahala si salama sana kwa afya za Kiroho.
 
Hahaa kumbe vipensi hawaruhusu bora umeniambia mapema maana nilikuwa na mpango siku niende nimetinga pensi. Enhe kwahiyo niambie ni mavazi gani ambayo ukivaa hawakuzingui.
 
Inaweza ikawa kweli au sio kweli pia. Leo kuna watu wengi tu ambao wameinuliwa na marafiki zao, wakati ndugu zao walikuwa na uwezo wa kuwasaidia and yet waliwatelekeza. Mungu akikujaalia ukampata rafiki mwema; unakuwa umejipatia kitu chema sana.
Hadi umpate huyo rafiki was kweli hapo ndio mtihani ulipo, manake watu wamekuwa na roho mbaya sana siku hizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…