Selfika na JF: Snap it. Show it

Wala, kaache tu. Katakuja kutusimulia hapa na machozi (God forbid)
Wala kaache tu(hii kauli imejaa unyenyekevu mno)😆😆..

Tunakataa machozi Kwa namna zotesema hallelujah mtumishi wa Bwana.Ila kabadilike tu maana wanaume hawataki kuendeshwa)

Chaubishi Saint Anne ukipata mchumba niweke kwenye list ya michango Mdogo wangu
 
Ngoja kaumri kakate ndo utajua hujui🤣🤣

Age mate wangu!!maana ni 30’s sio!!na yuko nyumbani!ana habari ya kuhama nyumbani au habari yenyewe hana!tuanzie hapo kwanza
Ah nikiwaonaga hata wakubwa wapo nyumbani basi hata siogopi yaani😁.


Sijui ana mpango,sijui hana hata sijui ila ana katoto kake karafiki kangu sana.
Ndio naishi naye hapa mjini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…