Dah yaani umenichekesha,,jana mama na dada wanaingia chumbani kwangu,wakaingia haraka haraka wakafunga mlango..nikaanza kucheka.
Dada akawa anacheka huku anasema yaani hadi chumbani tunaingia kwa hesabu tushajitune😂maana tunajua tukiacha mlango wazi hapa mbu wakaingia mambo yatakuwa si mambo🤣mziki wangu🤣😂
Eti kitoto kidogo cha juzi unataka kutuendesha watu wazima🤣🤣🤣
Usije kuwa wewe, kuna pisi kali moja tulikuwa tuna meet nayo karibia kila siku marrybrown inachapa ka espresso yake then hiyo inasepa hadi ikawa rafiki yangu.. 😁😁😁😁😁
Watu wapole huwa magaidi sanaaa.. makatilii.. wanajifichia humo kwenye ukimywaaa fatilia magaidii wote, majambazi na watu wenye rohoo mbayaa huwa wapole sanaaa 😂😂😂