Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,632
- 697,648
- Thread starter
- #13,441
Kuna mtu aliweka hii picha uko juu alikuwa nani vileee??? View attachment 1230448
Kuna mtu aliweka hii picha uko juu alikuwa nani vileee??? View attachment 1230448
Pombe bhana..
Halafu kama kachaga eeNimesema hollaaaaaaaaa! Imekuja hii eti View attachment 1230454
nime "like"
Yupo vizuri sanaHalafu kama kachaga ee
like ya maneno, ile nyingine ya ukweli sijaonanime "like"
Nimesema hollaaaaaaaaa! Imekuja hii eti View attachment 1230454
Jf Ni jalalaHumu unaweza kuitwa mgumba kumbe una watoto wa kutosha tena wenye afya zao.
Unaweza kuitwa single mother kumbe una mume na anakupenda na anakujali.
Unaweza kuitwa mal. aya unajiuza nk.. Kumbe una maisha mazuri tuu ambao hao wanaokuita kwao ni maisha ya ndoto zao.
Unaweza kuitwa jobless kumbe una ajira tena ya kudumu ambayo kuiacha ni siku ya kustaafu.
Kifupi huku ndivyo tulivyo baadhi yetu.
Mwendo wa kulewa maisha enyewe mafupi mamake.View attachment 1230083
Wow! 😍Unywele kama wote...Nawasalimu .View attachment 1230425
Mbona ndio ilikuwa ya kwanza. Nilianza na hiyo.like ya maneno, ile nyingine ya ukweli sijaona
Ooh nilikuwa sijaonaMbona ndio ilikuwa ya kwanza. Nilianza na hiyo.
Ungepost yako ingekua poa Sana.Wadada mbna hampost vyura tuone??
Anza wewe
Hawezi, we subiri hapo hapo uone.Kasema anakuja ila hataki ujue... Chezeya Jr.. View attachment 1230678
Drostdy Hof 🍷Kasema anakuja ila hataki ujue... Chezeya Jr.. View attachment 1230678
Ndiyo inarefusha mpaka uume.Pombe inarefusha au