aaaah wapi wee, sasa naenda huko kufanya nn? Akati cna interest nako,
Niliwahi pelekwa johari rotana, wallah nlibaki kuduwaa na kuwa bored tyuuh, mwshoe nlijiona nimeharibu pesa na muda wa mtu.
Sitaki mie nakuwaga muwazi tyuuh, kuliko nionekane msumbufu na mtu wa tamaa,