Selfika na JF: Snap it. Show it

Ma nakula ila najizuia kwa lazima sababu nanenepa tumbo, mashavu na miguu inajaa ' sasa hii ni mbaya kwangu sababu kazini muda mwingi nakaa.

Em tumia dawa za minyoo kwanza...
Ungekuwa jirani yangu ningekuwa nakuamsha kila siku asubuhi ukaruke kamba..unene na kitambi siyo poa kbs

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…