Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,750
- 182,848
Ole wako!!!Hali ya hewa inahamasisha kuchoma mahindi huku tumelizunguka jiko eeh. Raha sana.
Tufurai jioni basi.
Ole wako!!!Hali ya hewa inahamasisha kuchoma mahindi huku tumelizunguka jiko eeh. Raha sana.
Tufurai jioni basi.
Real picLike no otherView attachment 1229895
SiendiiiiiOle wako!!!
Badala ukatoe posa unaniita mimi vichochoroni[emoji23][emoji23][emoji23].Acha zako [emoji35][emoji34]
Mie kabati, kusogea hadi mwenye nyumba awe anafanya general cleanliness.
We Si unajifanya mjanja?Acha zako [emoji35][emoji34]
Posa kwanza na bahasha ilotuna. Sio ananidolishia tu mabunda yake wakati nimechacha mbaya[emoji134][emoji134][emoji134]SiendiiiiiBadala ukatoe posa unaniita mimi vichochoroni[emoji23][emoji23][emoji23].
Sitoacha kukuharibia hadi ujiongeze.Kausha basi unaniharibia ujue
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]kichwa chako kaone kuleMwenyewe dada!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]kichwa chako kaone kule
Umevuta bangi wakati nilikukataza[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mefanya nini lakini mimi jamani!!
Umeitoa Telegram group naliweka kapuni[emoji23]
View attachment 1227969 Mvua hizi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Umevuta bangi wakati nilikukataza
Hadi wewe umeona piaYani wewe lazima utakuwa ni mrembo sana..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]we endelea na hizo bangi zako uone namna misuli inavyotunishwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi unaanzaje kunitunushia misuli eti jamani dada