Selfika na JF: Snap it. Show it

Wengine kufa kubudu hatuwezi,tunajikuta tusharopoka.
 
Moyo unao aise..kwangu ukishaanza kubishana au matusi basi majibu ni mawili..nikae kimya au nikujibu utumbo uliooza
Mimi mtu akinitukana anajichosha tu,zaidi sana atakuwa anajidhihirisha kiwango chake cha upumbavu.
Ila nikisema na mimi nimtukane kama alivyonitukana mbona atalia.

Sema kule siasani wengine kama watani wa jadi ,wanatukanana kesho maisha yanaendelea kama kawaida,hawana vinyongo.
Halafu kuna wadau wapo very smart kwwnyw kujibu mfano mzuri ni huyu Erythrocyte ..huwa ana majibu fulani simple,,anajikuta jukwaa analimudu vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…