Sipendi siasa wala kujibishana Na mtu Na ndio maana hunikuti nikisema chochote unaweza kujua sipitiagi hayo majukwaa ee
nayapitia Kwa ukaribu mkubwa mno lakini kimya kimya nikiguswa sana nitalike tu.
Ubishi kama wa
Saint Anne aise sijawahi kubarikiwa nao