Tupo wengi , mimi nisipoenda kwenye maombi napotea njia kabisa . Hapa Pastor katoka kuniuliza kama nimewahi kufunga toka mwaka ulivyoanza , nimejishtukia sana .
Eeh Roho mtakatifu utuongoze kuacha njia zisizofaa , tufate yaliyo mema tu .
nimecheka hapa mie. Hakna viumbe nawaogopa km lecturers hasa wanaonifundisha, na sitaki hata mazoea nao labda awe wa kike ndo ntamzoea kidg tena kwa mipaka.
Hebu weka picha kubwa ya PC hiyo, mie nimetokea kuipenda, pengine naweza enda nunua.
nimecheka hapa mie. Hakna viumbe nawaogopa km lecturers hasa wanaonifundisha, na sitaki hata mazoea nao labda awe wa kike ndo ntamzoea kidg tena kwa mipaka.
Hebu weka picha kubwa ya PC hiyo, mie nimetokea kuipenda, pengine naweza enda nunua.